UGANDA WAANZA NA KIPIGO AFCON



Uganda imeanza vibaya michuano ya Afcon baada ya kuchapwa kwa bao 1-0 na Ghana.

Nahodha wa Ghana, Andre Ayew ndiye alikuwa shujaa baada ya kufunga penalti hiyo katika kipindi cha pili.

Mechi hiyo ya Kundi D ilikuwa ngumu na Uganda walionyesha juhudi kubwa lakini mwisho hawakufanikiwa. 


No comments

Content by MwasebaINFO.All RIghts Reserved. Powered by Blogger.