Zitto: Tukio la wanafunzi, OCD wa Bariadi na RPC wa Simiyu wawajibishwe

Kupitia Ukurasa wake wa Facebook kiongozi huyo ameandika hivi..
"Nawapongeza Sana Wanafunzi wa Bariadi walioandamana kudai haki yao ya Mwalimu Mkuu wao kurejeshwa shuleni hapo. Jeshi la Polisi lilipaswa kutoa ulinzi kwa Wanafunzi hawa na sio kuwapiga kama wahalifu. Wezi kama kina Harbinder Singh Seth wa PAP/IPTL wanapewa ulinzi wa polisi na usalama wa Taifa wakati watoto wanaodai haki ya Mwalimu bora wanapigwa. 
OCD wa Bariadi na RPC wa Simiyu wawajibishwe kwa kutumia nguvu kubwa dhidi ya Wanafunzi hawa.
Nawashawishi Mtandao wa Wanafunzi Tanzania ( TSNP ) kuhamasisha Wanafunzi nchi nzima waandamane kulaani wanafunzi wenzao kupigwa na polisi huko Bariadi mkoani Simiyu"


SHINDA GARI LA BUREEEE !!!!!, USIPUUZIE KUJISAJILI NI BUREEEE KABISA




Umeshawahi Kufikiria Kupata Gari la Bure bila Kulipa Chochote, Basi hii Kampuni ya Cars From Japan Wanakupa Nafasi Hiyo ... 

Bofya Link hapo chini na Ufate Maelekezo ya Jinsi ya Kuweza Kuwa Mshindi wa Gari hilo..

BONYEZA HAPA: JISAJILI BUREEEE KABISAAAA

Kisha Jisajili kwa Kuweka Jina na Email Yako

Mwisho wa Kujisajili ni 22 / 3 / 2017

No comments

Content by MwasebaINFO.All RIghts Reserved. Powered by Blogger.