Mwanafunzi Wa Kidato Cha Kwanza Awasili Shuleni Kwa Chopa

Mwanafunzi Wa Kidato Cha Kwanza Awasili Shuleni Kwa Chopa

  Kijana Kevin Muriuki na chopa iliyompeleka shuleni Nyeri

  Kijana Kevin Muriuki na wazazi wake wakielekea kwenye chopa

  Kijana Kevin Muriuki akiaga

Kijana Kevin Muriuki haamini bahati yake

Shughuli za masomo zilisimama kwa muda shule ya Nyeri High School nchini Kenya Jumatano asubuhi wakati mwanafunzi aliyeripoti kuanza elimu ya kidato cha kwanza alipotua kwa chopa.

Kijana Kevin Muriuki, aliyepasi katika shule ya msingi ya Karichen alipelekwa shuleni hapo kwa njiamya anga na chama cha veterani wa kikosi cha anga cha Kenya (Kenya Air Force Veterans Association).

Muriuki, anayetoka kwenye familia inayoishi kwenye mazingira magumu, ana ndoto ya kuwa rubani wa ndege na maveterani hao wakaona wamwonjeshe kwa kumpeleka shuleni kwa chopa.

No comments

Content by MwasebaINFO.All RIghts Reserved. Powered by Blogger.